IQNA

Mwanachuoni wa Qur’ani Sheikh Ahmed Mansour miongoni mwa majaji wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani nchini Misri

Mwanachuoni wa Qur’ani Sheikh Ahmed Mansour miongoni mwa majaji wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani nchini Misri

IQNA – Sheikh Ahmed Mansour ni qari mashuhuri wa Qur’ani kutoka Misri anayehudumu katika kamati ya majaji wa mashindano ya 32 ya kimataifa ya Qur’ani yanayofanyika nchini humo.
18:24 , 2025 Dec 08
Msichana Muirani ashinda Mashindano ya Qur'ani kwa wenye ulemavu wa macho duniani

Msichana Muirani ashinda Mashindano ya Qur'ani kwa wenye ulemavu wa macho duniani

IQNA – Msichana Muirani ambaye amekamilisha kuhifadhi Qur'ani yote ameshika nafasi ya kwanza katika mashindano ya Qur'an kwa walio na ulemavu wa macho katika ulimwengu wa Kiislamu.
18:17 , 2025 Dec 08
Al-Kawthar TV yazindua tangazo la Mashindano ya 19 ya Qur’ani “Inna lil-Muttaqeena Mafaza”

Al-Kawthar TV yazindua tangazo la Mashindano ya 19 ya Qur’ani “Inna lil-Muttaqeena Mafaza”

IQNA – Televisheni ya Al-Kawthar imechapisha rasmi tangazo la video la Mashindano ya 19 ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur’ani Tukufu mubashara, yatakayopeperushwa hewani katika mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka 2026.
18:08 , 2025 Dec 08
Wawakilishi Kutoka Nchi 30 Kushiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Port Said 2026

Wawakilishi Kutoka Nchi 30 Kushiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Port Said 2026

IQNA – Toleo la tisa la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani na Utenzi wa Kidini la Port Said linatarajiwa kuanza mwishoni mwa Januari 2026 likihusisha ushiriki wa zaidi ya nchi 30, waandaaji wametangaza.
17:02 , 2025 Dec 08
Zaidi ya Nchi 70 Zashiriki Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani Nchini Misri

Zaidi ya Nchi 70 Zashiriki Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani Nchini Misri

IQNA – Toleo la 32 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Misri limeanza Jumamosi katika Mji Mkuu wa Utawala wa nchi hiyo.
20:33 , 2025 Dec 07
Jukwaa la Kujadili Tafiti za Qur’ani Katika Chuo Kikuu cha Los Angeles

Jukwaa la Kujadili Tafiti za Qur’ani Katika Chuo Kikuu cha Los Angeles

IQNA – Jukwaa la kimataifa litakalojadili mkutano wa hivi karibuni wa tafiti za Qur’ani uliofanyika Los Angeles litafanyika mtandaoni leo na Jumamosi ijayo kupitia jukwaa la Zoom.
20:28 , 2025 Dec 07
Mkutano wa Dunia wa Qur’ani Waendelea Kuala Lumpur

Mkutano wa Dunia wa Qur’ani Waendelea Kuala Lumpur

IQNA – Mkutano wa Dunia wa Qur’ani 2025 umefunguliwa Jumapili jijini Kuala Lumpur kwa wito mkali kwa viongozi wa Kiislamu na jamii kugeuza thamani za Qur’ani kuwa mikakati halisi ya kijamii na kiuchumi, ukisisitiza nafasi ya Kitabu Kitukufu kama mwongozo wa vitendo katika utungaji sera na utatuzi wa changamoto za kisasa.
20:19 , 2025 Dec 07
Qari wa Kiirani Atafuta Njia Mpya za Ushirikiano Katika Ziara Yake Nchini Bangladesh

Qari wa Kiirani Atafuta Njia Mpya za Ushirikiano Katika Ziara Yake Nchini Bangladesh

IQNA – Msomaji wa Qur’ani kutoka Iran, ambaye pia ni afisa wa Haram ya Imam Hussein (Iraq) amekamilisha ziara yake nchini Bangladesh iliyolenga kuimarisha ushirikiano wa kimataifa wa Qur’ani Tukufu.
20:07 , 2025 Dec 07
Istighfār katika Qur’ani Tukufu na Hadith

Istighfār katika Qur’ani Tukufu na Hadith

IQNA-Neno Istighfār (kuomba msamaha) limetokana na mzizi wa Kiarabu ghafara ambalo maana yake ni “kufunika” au “kufunika kwa ulinzi.” Kwa hivyo, istighfār katika Kiarabu ni kusihi na kuomba kufunikwa dhambi na makosa.
21:35 , 2025 Dec 06
Kijana Muirani Asema Qur’ani Tukufu mempa Nguvu ya Kusomea Udaktari

Kijana Muirani Asema Qur’ani Tukufu mempa Nguvu ya Kusomea Udaktari

IQNA – Milad Asheghi, mhifadhi kamili wa Qur’ani Tukufu na mwanafunzi wa mwaka wa mwisho wa udaktari kutoka Tabriz, Iran, amesema Qur’ani Tukufu imekuwa nguvu thabiti iliyomwongoza kupitia changamoto za masomo ya udaktari.
21:16 , 2025 Dec 06
Kitabu Kipya Malaysia Chatoa Tafakuri za Dakika Mbili Kila Siku Kuhusu Qur’ani Tukufu

Kitabu Kipya Malaysia Chatoa Tafakuri za Dakika Mbili Kila Siku Kuhusu Qur’ani Tukufu

IQNA – Kitabu kipya chenye tafakuri fupi 365 za kila siku kuhusu Qur’ani kimezinduliwa mjini Petaling Jaya, Malaysia, siku ya Ijumaa.
20:54 , 2025 Dec 06
Kiongozi wa Al-Azhar aeleza umuhimu wa kuhifadhi Qur’ani katika kufikisha ujumbe wa Uislamu duniani

Kiongozi wa Al-Azhar aeleza umuhimu wa kuhifadhi Qur’ani katika kufikisha ujumbe wa Uislamu duniani

IQNA – Sheikh Ahmed Al-Tayeb, Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri, amesisitiza kuwa kuzingatia kuhifadhi Qur'ani Tukufu ni msingi wa kujenga kizazi kipya cha vijana wenye uwezo wa kubeba ujumbe wa wema, rehema na amani – kiini cha risala ya Uislamu kwa ulimwengu.
19:58 , 2025 Dec 06
Utafiti waonyesha kuongezeka kwa ubaguzi wa kidini dhidi ya Waislamu nchini Ufaransa

Utafiti waonyesha kuongezeka kwa ubaguzi wa kidini dhidi ya Waislamu nchini Ufaransa

IQNA – Utafiti mpya wa kitaifa umebaini kuwa Waislamu nchini Ufaransa wanaripoti viwango vya juu zaidi vya ubaguzi wa kidini kuliko makundi mengine yote.
19:50 , 2025 Dec 06
Mpango wa Elimu Brazil Wakulenga Kuimarisha Uhusiano wa Watoto na Qur’ani Tukufu

Mpango wa Elimu Brazil Wakulenga Kuimarisha Uhusiano wa Watoto na Qur’ani Tukufu

IQNA – Kituo cha Kimataifa cha Uislamu kwa Uvumilivu na Amani nchini Brazil kimeanzisha mpango maalumu wa kielimu wiki hii katika uwanja wa tafsiri ya Qur’ani Tukufu na kusoma Hadith za Mtume (SAW).
16:45 , 2025 Dec 05
Profesa Abdulaziz Sachedina: Ujumbe wa Imam Khomeini (RA) Uliotokana na Qur’ani

Profesa Abdulaziz Sachedina: Ujumbe wa Imam Khomeini (RA) Uliotokana na Qur’ani

IQNA – Katika mahojiano ya mwaka 2015, Profesa Abdulaziz Sachedina, aliyewahi kufundisha masomo ya Kiislamu katika Chuo Kikuu cha George Mason, Virginia, Marekani, alisema kuwa ujumbe wa Imam Khomeini (RA), uliotokana na Qur’ani Tukufu, ulikuwa wa kiulimwengu na uliwahusu Waislamu wote.
16:35 , 2025 Dec 05
4