IQNA

Baraza la Kimataifa la Qur’an laanzishwa mjini Istanbul, Uturuki

Baraza la Kimataifa la Qur’an laanzishwa mjini Istanbul, Uturuki

IQNA – Maafisa wa Maonyesho ya 11 ya Kimataifa ya Vitabu ya Istanbul wametangaza kuanzishwa kwa “Baraza la Kimataifa la Qur’an” (World Quran Assembly) pembezoni mwa siku ya kwanza ya hafla hiyo.
18:03 , 2026 Aug 17
Qari kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran akisoma aya za Qur’an Tukufu  za Surah Al-Mulk

Qari kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran akisoma aya za Qur’an Tukufu za Surah Al-Mulk

IQNA – Msomaji mashuhuri wa Qur’an Tukufu kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ndugu Masoud Panjeh, ambaye ni Qari katika Haram Tukufu ya Imam Ali ibn Musa al-Ridha (AS) mjini Mashhad, hivi karibuni amesoma aya za 1–8 za Surah Al-Mulk.
17:36 , 2026 Aug 17
Mwanazuoni wa Iran atoa wito wa Akili Mnemba (AI) kuwa chachu ya mageuzi katika taaluma za Qur’ani

Mwanazuoni wa Iran atoa wito wa Akili Mnemba (AI) kuwa chachu ya mageuzi katika taaluma za Qur’ani

IQNA – Mwanazuoni wa Kiislamu kutoka Iran ametoa wito wa kuitumia Akili Mnemba (Artificial Intelligence - AI) siyo kama nyenzo ya kusaidia pekee, bali kama chachu kuu ya kuleta mageuzi katika tafiti na harakati za Qur’ani.
17:01 , 2026 Aug 16
Washiriki wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Makka wapata zawadi za fedha

Washiriki wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Makka wapata zawadi za fedha

IQNA – Washindi na washiriki katika mashindano ya 46 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Mfalme Abdulaziz, yaliyofikia tamati Makka mapema wiki hii, wametunukiwa zawadi za fedha mwishoni mwa hafla hiyo ya Qur’ani.
16:55 , 2026 Aug 16
Norway: Mazungumzo ya Kidini Kujadili Utambulisho, Ubaguzi na Chuki dhidi ya Waislamu

Norway: Mazungumzo ya Kidini Kujadili Utambulisho, Ubaguzi na Chuki dhidi ya Waislamu

IQNA – Mtandao wa Mazungumzo ya Kiislamu nchini Norway ulishiriki katika “Arendalsuka,” ambayo ni jukwaa la kila mwaka la mijadala ya umma nchini Norway. Katika jukwaa hilo, mtandao huo ulijadili masuala muhimu ikiwemo utambulisho wa kidini, uhuru wa kujieleza, ubaguzi, na tofauti iliyopo kati ya ukosoaji halali wa dini na chuki zinazolenga jamii nzima.
16:49 , 2026 Aug 16
Kambi ya Qur’ani yaandaliwa katika kisiwa cha Mahibadhoo, Maldives

Kambi ya Qur’ani yaandaliwa katika kisiwa cha Mahibadhoo, Maldives

IQNA – Kambi inayojumuisha mashindano matatu ya usomaji wa Qur’ani (Tilawa), warsha za ufundishaji, na hafla maalum ya watoto imepangwa kufanyika huko Mahibadhoo, mji wa kisiwani ulioko katikati mwa nchi ya Maldives.
16:33 , 2026 Aug 16
Waislamu nchini Uingereza wahimizwa kusali Swala ya Istisqa (Swala ya kuomba mvua)

Waislamu nchini Uingereza wahimizwa kusali Swala ya Istisqa (Swala ya kuomba mvua)

IQNA – Katikati ya ukame usio wa kawaida na uhaba mkali wa maji unaotishia sekta ya kilimo na mazingira, wanazuoni wa Kiislamu nchini Uingereza wametoa wito kwa maimamu wa misikiti na waumini kufufua sunna tukufu ya “Istisqa” (Swala ya kuomba mvua).
16:28 , 2026 Aug 16
Maandamano Marib, Yemen kulaani matusi ya Kizayuni-Mmarekani dhidi ya Qur’ani Tukufu

Maandamano Marib, Yemen kulaani matusi ya Kizayuni-Mmarekani dhidi ya Qur’ani Tukufu

IQNA – Wananchi katika mkoa wa Marib nchini Yemen wamefanya maandamano na matukio ya kulaani vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur’ani katika nchi za Magharibi.
21:05 , 2026 Aug 15
Ni saa zipi zenye utulivu zaidi katika Msikiti Mtukufu wa Makka?

Ni saa zipi zenye utulivu zaidi katika Msikiti Mtukufu wa Makka?

IQNA – Mahujaji wa Umra wanashauriwa kupanga ziara zao katika Msikiti Mtukufu wa Makka (Masjid al Haram) wakati wa vipindi vyenye msongamano mdogo.
20:46 , 2026 Aug 15
Shule ya Qur’ani ya ‘Gaza’ nchini Algeria: Miaka 24 ya Kujenga Kizazi cha Haki

Shule ya Qur’ani ya ‘Gaza’ nchini Algeria: Miaka 24 ya Kujenga Kizazi cha Haki

IQNA – Shule ya Qur’ani ya ‘Gaza’ iliyoko katika mkoa wa Hama Bouziane, jimbo la Constantine nchini Algeria, imejitolea kwa miaka 24 kufundisha na kuwezesha kuhifadhi Qur’ani Tukufu. Taasisi hii imekuwa mwanga wa maarifa na malezi ya kiroho, ikitoa mafunzo kwa mamia ya wahifadhi wa kiume na wa kike.
20:33 , 2026 Aug 15
Wimbi la matusi na chuki dhidi ya mteule Muislamu wa Seneti saa chache baada ya ushindi wa awali

Wimbi la matusi na chuki dhidi ya mteule Muislamu wa Seneti saa chache baada ya ushindi wa awali

IQNA – Saa chache tu baada ya ushindi wa Abdul El-Sayed katika uchaguzi wa awali wa Seneti wa chama cha Democratic huko Michigan, matusi na chuki mtandaoni dhidi yake viliongezeka kwa kasi kubwa, kulingana na utafiti mpya wa Kituo cha Utafiti wa Chuki Iliyopangwa (CSOH).
12:52 , 2026 Aug 15
Siku ya Wazi ya Msikiti nchini Australia inalenga kukuza majadiliano na maelewano ya Kijamii

Siku ya Wazi ya Msikiti nchini Australia inalenga kukuza majadiliano na maelewano ya Kijamii

IQNA – Msikiti wa Minto (Masjidur Rahman Al-Jami’ee) uliopo New South Wales, Australia, imeandaa hafla maalum ya “Siku ya Wazi” siku ya Jumamosi, Agosti 15. Msikiti huu utafungua milango yake kwa jamii pana kwa ajili ya siku maalum iliyolenga huduma ya vijana, majadiliano ya dini tofauti, na kuimarisha maelewano katika jamii.
12:43 , 2026 Aug 15
Mwislamu wa Burundi aliyesilimu ashiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah

Mwislamu wa Burundi aliyesilimu ashiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah

IQNA – Ilimchukua mwaka mmoja tu tangu kuifahamu dini ya Uislamu hadi kufika katika Msikiti Mkuu wa Makkah (Masjid al-Haram), akishiriki katika mashindano ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu.
10:30 , 2026 Aug 14
Hamas yapongeza kauli ya Iran kuhusu umuhimu wa kusitisha vita katika eneo

Hamas yapongeza kauli ya Iran kuhusu umuhimu wa kusitisha vita katika eneo

IQNA – Harakati ya Muqawama wa Palestina ya Hamas imepongeza kauli ya Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, Mohsen Rezaei, kuhusu umuhimu wa kusitishwa kwa vita katika ukanda wa Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).
10:20 , 2026 Aug 14
Kiongozi wa Yemen: Kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu ni dhihirisho wazi la uadui dhidi ya Uislamu

Kiongozi wa Yemen: Kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu ni dhihirisho wazi la uadui dhidi ya Uislamu

IQNA – Akilaani vitendo vya mara kwa mara vya kuidhalilisha na kuivunjia heshima Qur’ani Tukufu kama vitendo vya “Kizayuni na Kimarekani,” kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen, Sayyid Abdul-Malik Badruddin al-Houthi, amesema vitendo hivyo vya kukufuru na kukiuka heshima ya Qur’ani ni sehemu ya uadui mpana zaidi dhidi ya Uislamu.
10:15 , 2026 Aug 14
1 2 3 4