IQNA

Watetezi wa Palestina

Wengi wavutiwa na Uislamu nchini Uhispania baada ya hujuma ya Israel huko Gaza

MADRID (IQNA) – Kiongoi mmoja wa Kiislamu nchini Uhispania anasema kumekuwa na ongezeko la watu wenye nia ya kufanya uchunguzi wa kina kuhusu Uislamu kufuatia...
Mashindano ya Qur'ani

Mashindano ya 46 ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran Yaanza

TEHRAN (IQNA) - Duru ya mwisho ya toleo la 46 la Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran ilianza katika mji wa kaskazini-magharibi wa Bojnourd...
Jinai za Israel

Israel yaendelea kuua watoto wadogo Palestina

UKINGO WA MAGHARIBI (IQNA)- Watoto wawili wa Kipalestina wameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji wa Jenin,...
Watetezi wa Palestina

Al Azhar: Dunia iungane kuanzisha taifa huru la Palestina

CAIRO (IQNA) - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimesema wakati umefika kwa watu wote wanaopenda uhuru duniani kuungana kwa ajili ya kuundwa taifa...
Habari Maalumu
Maandamano ya kuunga mkono Palestina na kulaani Israeli yaendelea duniani kote
Waungaji mkono Palestina

Maandamano ya kuunga mkono Palestina na kulaani Israeli yaendelea duniani kote

TEHRAN (IQNA)- Katika muendelezo wa himaya na uungaji mkono wa ulimwengu kwa mapambano ya wananchi wa Gaza na kulaani jinai za utawala ghasibu wa Israel,...
30 Nov 2023, 16:50
Kutafakari Katika Mbinu ya Elimu ya Nabii Nuh
Mbinu ya Elimu ya Manabii; Nuh/37

Kutafakari Katika Mbinu ya Elimu ya Nabii Nuh

TEHRAN (IQNA) – Ujinga na kukataa kufikiri na kutafakari ni uhalifu ambao umesababisha madhara kwa ubinadamu katika historia.
30 Nov 2023, 16:08
Ayatullah Khamenei: Tukio la Kihistoria la Kimbunga cha Al Aqsa limevuruga sera za Marekani
Kimbunga cha Al Aqsa

Ayatullah Khamenei: Tukio la Kihistoria la Kimbunga cha Al Aqsa limevuruga sera za Marekani

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei anasema tukio la kihistoria la Kimbunga cha al-Aqsa cha harakati ya Hamas...
29 Nov 2023, 16:10
Mahathir Mohammad akosoa udhaifu wan chi za Kiislamu kuhusu Gaza
Kadhia ya Palestina

Mahathir Mohammad akosoa udhaifu wan chi za Kiislamu kuhusu Gaza

TEHRAN (IQNA)- Kutokana na udharura na haja ya kuongezwa na kuimarishwa umoja na mshikamano baina ya wapenda uhuru na wapigania haki hususan nchi za Kiislamu...
29 Nov 2023, 15:25
Jinsi Khums na Zaka zinavyotofautiana na Ushuru
Khums katika Uislamu /8

Jinsi Khums na Zaka zinavyotofautiana na Ushuru

TEHRAN (IQNA) - Khums na Zaka ni pesa au mali zinazopokelewa na taasisi za kidini za Kiislamu wakati ushuru unakusanywa na serikali.
29 Nov 2023, 15:18
Mapendekezo yakaribishwa kuhusu Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tehran
Maonyesho ya Qur'ani Tukufu

Mapendekezo yakaribishwa kuhusu Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tehran

TEHRAN (IQNA) - Waandaaji wa toleo lijalo la Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran wanakaribisha mawazo mapya ya kuandaa vyema tukio hilo...
29 Nov 2023, 15:11
‘EU inawalenga Waislamu kwa uwazi’: Mahakama Kuu yaruhusu marufuku Hijabu kazini
Chuki dhidi ya Uislamu

‘EU inawalenga Waislamu kwa uwazi’: Mahakama Kuu yaruhusu marufuku Hijabu kazini

BRUSSELS (IQNA) - Mahakama kuu ya Umoja wa Ulaya imeamua Jumanne kwamba waajiri wa umma katika nchi wanachama wanaweza kupiga marufuku wafanyakazi kuvaa...
29 Nov 2023, 14:38
Kiongozi wa Waislamu Ujerumani aonya kuhusu 'hali ya wasiwasi' baada ya vita vya Gaza
Waislamu Ujerumani

Kiongozi wa Waislamu Ujerumani aonya kuhusu 'hali ya wasiwasi' baada ya vita vya Gaza

BERLIN (IQNA) – Kiongozi mmoja wa jamii ya Waislamu nchini Ujerumani ameelezea wasiwasi wake juu ya kuongezeka kwa chuki dhidi ya Waislamu nchini humo...
28 Nov 2023, 16:57
Wataalamu kujadili ugaidi wa Israel na kufeli sheria za kimataifa
Jinai za Israel

Wataalamu kujadili ugaidi wa Israel na kufeli sheria za kimataifa

TEHRAN (IQNA) – Kundi la wataalam kutoka nchi mbalimbali watafanya mkutano wa kimataifa tarehe 29 Novemba 2023, kujadili kufeli sheria za kimataifa na...
28 Nov 2023, 16:38
Israel imewaua Wapalestina Gaza kutokana na ukosefu wa umoja wa Waislamu duniani
Umoja wa Waislamu

Israel imewaua Wapalestina Gaza kutokana na ukosefu wa umoja wa Waislamu duniani

TEHRAN (IQNA) – Mauaji ya kimbari ambayo yanatekelezwa na utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza yalitokea kwa sababu Umma wa Kiislamu umegawanyika,...
28 Nov 2023, 15:56
Dar ul-Ifta ya Misri: Haijuzu Kuipa Misikiti jina la Al-Aqsa
Fatwa

Dar ul-Ifta ya Misri: Haijuzu Kuipa Misikiti jina la Al-Aqsa

CAIRO (IQNA) – Taasisi ya Dar ul Ifta ya Misri imetangaza kuwa hairuhusiwi au haijuzu kidini kuupa msikiti wowote jina la Al-Aqsa.
28 Nov 2023, 15:24
Idadi halisi ya askari wa Israeli walioangamizwa katika Kimbunga cha Al-Aqsa yazidi kufichuka
Jinai za Israel

Idadi halisi ya askari wa Israeli walioangamizwa katika Kimbunga cha Al-Aqsa yazidi kufichuka

Jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel limekiri kuwa zaidi ya askari wake 1,000 wa walowezi wa utawala huo waliuawa wakati wa mapigano ya Kimbunga...
28 Nov 2023, 18:19
Vijana watatu wa Wapalestina wapigwa risasi nchini Marekani
Jinai Marekani

Vijana watatu wa Wapalestina wapigwa risasi nchini Marekani

VERMONT (IQNA) - Polisi wa Jimbo la Vermont waliripoti Jumapili kwamba vijana watatu wa Kipalestina walipigwa risasi na kujeruhiwa karibu na Chuo Kikuu...
27 Nov 2023, 11:44
Mkutano wa Soko la Mitaji ya Kiislamu wafanyika Tehran
Mfumo wa Kifedha wa Kiislamu

Mkutano wa Soko la Mitaji ya Kiislamu wafanyika Tehran

TEHRAN (IQNA) – Mkutano wa 15 wa Kimataifa wa Soko la Mitaji ya Kiislamu (ICM) unafanyika, Tehran, mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambapo unashirikisha...
26 Nov 2023, 19:12
Vigezo vya kutofautisha dhambi kuu na dhambi ndogo
Zifahamu Dhambi/9

Vigezo vya kutofautisha dhambi kuu na dhambi ndogo

TEHRAN (IQNA) – Kumekuwa na mijadala mingi miongoni mwa wanachuoni wa Kiislamu kuhusu ni vigezo gani vilivyopo vya kutaja dhambi kuwa kubwa (Kabira) au...
26 Nov 2023, 14:20
Faida za Kijamii za Zakat
Zaka katika Uislamu /7

Faida za Kijamii za Zakat

TEHRAN (IQNA) – Kuna mamia ya Hadithi kuhusu kile kinachosaidia katika kuendeleza urafiki.
26 Nov 2023, 13:58
Picha‎ - Filamu‎