IQNA

Maandamano ya kuunga mkono Palestina huko Copenhagen yanavutia maelfu

IQNA – Maandamano ya kuunga mkono Palestina yalifanyika mjini Copenhagen, mji mkuu wa Denmark, ambapo waandamanaji zaidi ya 10,000 walitisha mwito wa kumaliza...

Wafanyakzi 3,500 wa kujitolea wa Hilali Nyekundu wamehudumia waumini huko Mashhad

IQNA – Zaidi ya waajiriwa 3,500 na wafanyakazi wa misaada kutoka Shirika la Hilali Nyekundu ya Iran (IRCS) wamewahudumia waumini wanaotembelea Haram Takatifu...

Mji wa Madina wapokea idadi kubwa ya waumini wa Umrah

IQNA – Idadi ya waumini wa Umrah wanaoingia katika jiji takatifu la Madina inaongezeka katika msimu mpya wa Umrah ulioanza baada ya Hija ya 2025.

PRC yalaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Yemen

IQNA – Kamati za Upinzani za Kawaida (PRC), muungano wa makundi ya Kipalestina, zimelaani mashambulizi ya kijeshi ya utawala wa Israel yaliyolenga miundombinu...
Habari Maalumu
Zaidi ya waumini milioni 5 wazuru Mashhad katika siku za mwisho za Safar

Zaidi ya waumini milioni 5 wazuru Mashhad katika siku za mwisho za Safar

IQNA – Zaidi ya waumini milioni 5.2 wameingia jiji takatifu la Mashhad, lililoko kaskazini-mashariki mwa Iran, kutoka maeneo mbalimbali katika siku za...
25 Aug 2025, 16:04
Kiongozi Muadhamu: Taifa la Iran litapambana na Marekani

Kiongozi Muadhamu: Taifa la Iran litapambana na Marekani

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Marekani inahujumu na kukabiliana na Iran kwa sababu inataka taifa...
24 Aug 2025, 20:29
Australia yashuhudia maandamano makubwa zaidi ya kulaani Israel na kuunga mkono Palestina

Australia yashuhudia maandamano makubwa zaidi ya kulaani Israel na kuunga mkono Palestina

IQNA – Watu katika miji na miji midogo kote Australia walijitokeza kwa wingi Jumapili kuonyesha uungaji mkono wao wa dhati kwa Palestina na kulaani ukatili...
24 Aug 2025, 11:31
Msikiti wa karne moja unawakilisha utambulisho uliojaa utata wa Waislamu wa Marekani

Msikiti wa karne moja unawakilisha utambulisho uliojaa utata wa Waislamu wa Marekani

IQNA – Huko Cedar Rapids, Iowa, msikiti wa mkongwe zaidi nchini Marekani, ambao ni jengo dogo jeupe la mbao, ni ushahidi wa kimya wa historia ndefu ya...
24 Aug 2025, 11:12
Maandamano London kulaani  mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na Israel huko Gaza

Maandamano London kulaani mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na Israel huko Gaza

IQNA- Maandamano yafanyika Uingereza kulaani  mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na Israel dhidi ya Gaza Maandamano makubwa yamefanyika nje ya ubalozi wa...
24 Aug 2025, 09:47
Kikundi cha kwanza cha Wairani wanaoelekea Umrah chafika Madina

Kikundi cha kwanza cha Wairani wanaoelekea Umrah chafika Madina

IQNA – Kikundi cha kwanza cha Wairano wanaotekeleza Umrah baada ya Hajj ya mwaka huu kimewasili Madina, Saudi Arabia baada ya kuondoka mapema Jumamosi...
23 Aug 2025, 09:56
Mkurugenzi klabu ya soka Uhispania amkaribisha mchezaji kwa Ayah ya Qur'ani Tukufu

Mkurugenzi klabu ya soka Uhispania amkaribisha mchezaji kwa Ayah ya Qur'ani Tukufu

IQNA – Mkurugenzi wa michezo wa klabu ya soka ya Uhispania ya Real Valladolid amesoma aya kutoka kwenye Qur’ani Tukufu kumkaribisha mlinzi mpya wa klabu...
23 Aug 2025, 09:42
Maandamano ya mamilioni Yemen kwa ajili ya mshikamano na Wapalestina Gaza

Maandamano ya mamilioni Yemen kwa ajili ya mshikamano na Wapalestina Gaza

IQNA – Watu wa Yemen katika mkoa wa Saada wameshiriki katika maandamano ya mamilioni ya watu Ijumaa, wakionesha mshikamano wao na watu wanaodhulumiwa Palestina...
23 Aug 2025, 08:18
Idadi Kubwa ya Wafanyaziyara wafika Karbala katika Siku za Mwisho za Safar

Idadi Kubwa ya Wafanyaziyara wafika Karbala katika Siku za Mwisho za Safar

IQNA – Mji mtukufu wa Karbala, Iraq, umefurika wafanyaziyara kwa wingi mno katika siku za mwisho ya mwezi wa Safar, kwenye makaburi matukufu ya Imam Hussein...
23 Aug 2025, 08:11
Mwanazuoni aeleza Jinsi Mtume Muhammad (SAW) Alivyounda Umma mmoja kutoka jamii ya kikabila

Mwanazuoni aeleza Jinsi Mtume Muhammad (SAW) Alivyounda Umma mmoja kutoka jamii ya kikabila

IQNA – Mwanazuoni kutoka Iran amesisitiza mafanikio ya kihistoria yaliyopatikana na Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) kwa kuunda Umma mmoja ulioshikamana, kutoka...
22 Aug 2025, 16:17
Msafara wa Qur’ani waripoti ukuaji wa asilimia 5 katika shughuli za Arbaeen

Msafara wa Qur’ani waripoti ukuaji wa asilimia 5 katika shughuli za Arbaeen

IQNA – Waandalizi wa msafara wa Qur’ani kutoka Iran wametangaza ongezeko la asilimia 5 katika shughuli za Qur’ani wakati wa ziyara na matembezi Arbaeen...
22 Aug 2025, 15:58
Al-Azhar yalaani uhalifu wa chuki dhidi ya Msikiti huko Oxford, Uingereza

Al-Azhar yalaani uhalifu wa chuki dhidi ya Msikiti huko Oxford, Uingereza

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Kufuatilia na Kupambana na Misimamo Mikali kimelaani kitendo cha chuki kilichotokea hivi karibuni katika msikiti...
22 Aug 2025, 15:51
Aya za Qur’ani, kaligrafia ya Kiarabu na ramani za nchi katika kazi za Msanii wa Mosul

Aya za Qur’ani, kaligrafia ya Kiarabu na ramani za nchi katika kazi za Msanii wa Mosul

IQNA-Jannat Adnan Ahmed, msanii mashuhuri wa khatt kaligrafia kutoka Mosul, Iraq, na anayeishi New Zealand, anajulikana kwa kazi zake za kipekee zinazochanganya...
22 Aug 2025, 15:42
Maonyesho ya 'Qur'ani na Ashura' yafanyike eneo la Kashmir

Maonyesho ya 'Qur'ani na Ashura' yafanyike eneo la Kashmir

IQNA-Maonyesho ya sanaa za Qur’ani na kidini yenye kichwa “Sanaa ya Mapenzi, Imani na Ashura” yalifanyika katika Chuo Kikuu cha Kashmir yakiratibiwa na...
22 Aug 2025, 15:37
Washindi wa Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu, Makkah

Washindi wa Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu, Makkah

IQNA – Saudi Arabia imetangaza washindi katika makundi matano ya Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Mfalme Abdulaziz yaliyofanyika mjini...
21 Aug 2025, 16:57
Haram ya Najaf yafunikwa kwa kitambaa cheusi kabla ya kumbukumbu ya Wafat wa Mtume Muhammad (SAW)

Haram ya Najaf yafunikwa kwa kitambaa cheusi kabla ya kumbukumbu ya Wafat wa Mtume Muhammad (SAW)

IQNA – Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf imefunikwa kwa vitambaa vyeusi ikiwa ni sehemu ya maandalizi makubwa ya kumbukumbu ya Wafat au kufariki...
20 Aug 2025, 17:13
Picha‎ - Filamu‎