IQNA

Maafisa wasema Iraq iko tayari kwa matembezi ya Arbaeen

IQNA – Mamlaka za Iraq zimezindua maandalizi makubwa ya huduma na usalama, huku mamilioni ya wafanyaziara wakitarajiwa kuelekea Karbala kwa ajili ya matembezi...

Ofisi ya Ayatullah Sistani yapiga marfuku matumizi ya picha yake katika maeneo ya Umma

IQNA – Ofisi ya kiongozi mkuu wa Kishia nchini Iraq, Ayatullah Ali al-Sistani, imetoa tamko la kuzuia taasisi za kisiasa na za huduma kutumia picha yake...

Mufti Mkuu wa India apongeza uamuzi wa mataifa kutambua Palestina

IQNA – Mufti Mkuu wa India, Sheikh Abubakr Ahmad, amepongeza uamuzi wa baadhi ya mataifa kutambua rasmi nchi huru ya Palestina.

Msomi Iran asifu msimamo wa Waislamu vita vya Israel dhidi ya Iran, atoa wito wa umoja kuelekea Arbaeen

IQNA – Mkurugenzi wa Msafara wa Hijja wa Iran ameifu mshikamano wa kimataifa uliodhihirika wakati wa vita vya siku kumi na mbili vilivyoanzishwa na utawala...
Habari Maalumu
Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Usomaji na Kuhifadhi Qur’ani Malaysia Yafunguliwa

Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Usomaji na Kuhifadhi Qur’ani Malaysia Yafunguliwa

IQNA – Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Usomaji na Kuhifadhi Qur’ani Tukufu (MTHQA) yamefunguliwa rasmi katika mji mkuu wa Malaysia, Kuala Lumpur, siku...
03 Aug 2025, 17:43
Mikakati yawekwa kuhudumia Wafanyaziara  wa kike katika Haram ya Najaf wakati wa Arbaeen

Mikakati yawekwa kuhudumia Wafanyaziara wa kike katika Haram ya Najaf wakati wa Arbaeen

IQNA – Idara ya Masuala ya Wanawake ya Taasisi ya Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) imeandaa mipango kabambe ya kuwahudumia wafanyaziyara wa kike katika msimu...
02 Aug 2025, 07:55
Misikiti ya Misri yaandaa mihadhara kuhusu ‘Familia Katika Sira ya Mtume Muhammad (SAW)’

Misikiti ya Misri yaandaa mihadhara kuhusu ‘Familia Katika Sira ya Mtume Muhammad (SAW)’

IQNA –Mihadhara kuhusu “Nafasi na Umuhimu wa Familia katika Sira ya Mtume Mtukufu Muhammad (SAW)” imefanyika katika misikiti mbalimbali nchini Misri.
02 Aug 2025, 07:47
Shule ya Qur'ani ya Novi Pazar: Kituo cha Kufufua Utambulisho wa Kiislamu nchini Serbia

Shule ya Qur'ani ya Novi Pazar: Kituo cha Kufufua Utambulisho wa Kiislamu nchini Serbia

IQNA – Shule ya Qur'ani ya Novi Pazar nchini Serbia ni miongoni mwa vituo muhimu zaidi vya elimu ya Qur'ani katika eneo la Balkan, ikijitahidi kufufua...
02 Aug 2025, 07:39
Mahakama ya Uholanzi yasema upelelezi kuhusu Msikiti wa Veenendaal ulikiuka haki za Waislamu

Mahakama ya Uholanzi yasema upelelezi kuhusu Msikiti wa Veenendaal ulikiuka haki za Waislamu

IQNA – Mahakama moja nchini Uholanzi imebaini kuwa halmashauri ya jiji la Veenendaal ilifanya upelelezi kinyume cha sheria dhidi ya taasisi ya Kiislamu...
02 Aug 2025, 07:43
Washindi wa Mashindano ya Qur’anI ya Mkoa wa Tehran waenziwa

Washindi wa Mashindano ya Qur’anI ya Mkoa wa Tehran waenziwa

IQNA – Washindi wa upande wa wanaume katika awamu ya kimkoa ya Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Iran, yaliyofanyika Tehran, wametangazwa...
01 Aug 2025, 14:45
Qatar yazindua programu ya ya Maendeleo ya Vijana Kupitia Qur’ani

Qatar yazindua programu ya ya Maendeleo ya Vijana Kupitia Qur’ani

IQNA – Wizara ya Awqaf na Masuala ya Kiislamu nchini Qatar inaendesha darasa maalum la kiangazi la Qur’ani Tukufu kwa lengo la kuimarisha uwezo wa kuhifadhi...
01 Aug 2025, 14:41
Jumuiya ya Kiislamu yapongeza uamuzi wa Kanada kutambua Taifa la Palestina

Jumuiya ya Kiislamu yapongeza uamuzi wa Kanada kutambua Taifa la Palestina

IQNA – Baraza Kuu la Waislamu wa Kanada (NCCM) limekaribisha kwa mikono miwili uamuzi wa serikali ya Ottawa wa kulitambua rasmi Taifa la Palestina mwezi...
01 Aug 2025, 14:35
Tarjuma ya Qur’an kwa Kiyoruba na Kiingereza Yazinduliwa Nigeria

Tarjuma ya Qur’an kwa Kiyoruba na Kiingereza Yazinduliwa Nigeria

IQNA – Mwanazuoni mmoja wa Kiislamu kutoka Nigeria amezindua mradi wa kipekee wa tarjuma ya Qur’ani Tukufu kwa lengo la kuwafikishia ujumbe wa Allah kwa...
01 Aug 2025, 14:30
Ahukumiwa mwaka mmoja jela kwa kuvunjia heshima nakala ya Qur'ani nchini Ufaransa

Ahukumiwa mwaka mmoja jela kwa kuvunjia heshima nakala ya Qur'ani nchini Ufaransa

IQNA – Mwanaume mwenye umri wa miaka 27 nchini Ufaransa amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja gerezani kwa kitendo cha kuvunjia heshima Qur'ani, Kitabu Kitakatifu...
01 Aug 2025, 14:25
Kiongozi wa Hizbullah: Tawala za Israel na Marekani zinatenda jinai Gaza

Kiongozi wa Hizbullah: Tawala za Israel na Marekani zinatenda jinai Gaza

IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah nchini Lebanon, amesisitiza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani wanatekeleza jinai za kila siku, zilizo na mpangilio...
31 Jul 2025, 12:54
Wanaharakati maarufu wa Qur’ani kutoka Iran wawaomba Maqari wa Misri wasaidie watu wa Gaza

Wanaharakati maarufu wa Qur’ani kutoka Iran wawaomba Maqari wa Misri wasaidie watu wa Gaza

IQNA – Kundi la walimu na maqarii mashuhuri wa Qur’ani kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limeandika barua ya wazi kwa maqari wa Misri, likiwataka wachukue...
30 Jul 2025, 17:49
Iraq iko tayari kuwakaribisha wafanyaziyara wa kigeni wa Arbaeen

Iraq iko tayari kuwakaribisha wafanyaziyara wa kigeni wa Arbaeen

IQNA – Shirika la Mikingo ya Mpaka ya Iraq limetangaza kuwa liko tayari kikamilifu kuwapokea wafanyaziyara wa Arbaeen kutoka mataifa ya kigeni.
30 Jul 2025, 17:38
Wanawake wa Kiislamu wabeba mzigo wa chuki dhidi ya Uislamu nchini Australia

Wanawake wa Kiislamu wabeba mzigo wa chuki dhidi ya Uislamu nchini Australia

IQNA-Australia imeingia katika kipindi kigumu cha chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia), hali iliyoibuka kwa kasi tangu kuanza kwa vita vya kikatili vya...
30 Jul 2025, 11:37
Shule za Kuhifadhi Qur’ani kutoa mafunzo kwa wahifadhi Milioni 10 wa Qur’ani Iran

Shule za Kuhifadhi Qur’ani kutoa mafunzo kwa wahifadhi Milioni 10 wa Qur’ani Iran

IQNA – Afisa mmoja kutoka Wizara ya Elimu ya Iran amesema kuwa shule 1,200 za kuhifadhi Qur’ani zinapangwa kuzinduliwa nchini ili kusaidia mpango wa kuwafundisha...
30 Jul 2025, 11:16
Kiongozi wa Mapinduzi: Vita ya Siku 12 vilionesha uwezo wa Iran

Kiongozi wa Mapinduzi: Vita ya Siku 12 vilionesha uwezo wa Iran

IQNA – Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatعllah Sayyid Ali Khamenei, amesema kuwa vita vya siku 12 vilivyoanzishwa na utawala wa Kizayuni dhidi ya...
29 Jul 2025, 21:29
Picha‎ - Filamu‎