IQNA

Sehemu ya usomaji wa Qur’ani wa Majid Ananpour katika Mikusanyiko ya Usiku ya Wananchi + Sauti

Sehemu ya usomaji wa Qur’ani wa Majid Ananpour katika Mikusanyiko ya Usiku ya Wananchi + Sauti

IQNA- Qari bingwa wa Iran, Majid Ananpour, alihudhuria katika mikusanyiko ya usiku ya wananchi katika Uwanja wa Abuzar, Tehran, ambapo alisoma Aya ya 28 ya Surah Al-Fath iliyojaa baraka.
17:20 , 2026 Aug 24
“Ummah wa Mtume” ni Kaulimbiu Kuu ya Wiki ya Umoja wa Kiislamu

“Ummah wa Mtume” ni Kaulimbiu Kuu ya Wiki ya Umoja wa Kiislamu

IQNA – Katibu wa Makao Makuu ya Wiki ya Umoja wa Kiislamu nchini Iran ametangaza kuwa kaulimbiu kuu ya hafla ya mwaka huu ni “Ummah wa Mtume Mtukufu (SAW).”
17:17 , 2026 Aug 24
Mashindano ya Shule za Qur’ani za Misikiti yafanyika nchini Kosovo

Mashindano ya Shule za Qur’ani za Misikiti yafanyika nchini Kosovo

IQNA – Mashindano ya 14 ya kila mwaka ya Maarifa ya Dini miongoni mwa wanafunzi wa madrasa (Maktab) za misikiti yamefanyika nchini Kosovo, yakihusisha wanafunzi mahiri wa masomo ya Qur’ani kutoka miji 18 kote nchini humo.
17:13 , 2026 Aug 24
Khatati Mashuhuri wa Misri Afichua Kuandika Nakala Sita za Qur’ani Tukufu kwa Mkono

Khatati Mashuhuri wa Misri Afichua Kuandika Nakala Sita za Qur’ani Tukufu kwa Mkono

IQNA – Khatati (mtaalamu wa hati au mwanakaligrafia) mahiri wa Misri amethibitisha kuwa amefanikiwa kuandika nakala sita kamili za Qur’ani Tukufu kwa kutumia mkono wake mwenyewe.
17:11 , 2026 Aug 24
Utekelezaji wa Mashindano ya 18 ya Kitaifa ya Qur’ani ya ‘Mudhammatan’ nchini Iran

Utekelezaji wa Mashindano ya 18 ya Kitaifa ya Qur’ani ya ‘Mudhammatan’ nchini Iran

IQNA – Mchakato wa utekelezaji wa toleo la 18 la mashindano ya kitaifa ya Qur’ani ya ‘Mudhammatan’ umeanza rasmi nchini Iran.
17:08 , 2026 Aug 24
Utawala wa Kizayuni wapandisha bendera yao juu ya Mnara wa Msikiti wa Palestina

Utawala wa Kizayuni wapandisha bendera yao juu ya Mnara wa Msikiti wa Palestina

IQNA – Katika hatua ya kichokozi na ya kuvunjia heshima, vikosi vya utawala wa Kizayuni vimepaza bendera yao juu ya mnara wa msikiti mmoja huko Palestina katika mji wa Tulkarm ulio katika eneo la Ukingo wa Magharibi linalokaliwa kwa mabavu na utawala huo ghasibu.
17:06 , 2026 Aug 24
Msikiti nchini Vietnam ni Zaidi ya Mahali pa Ibada

Msikiti nchini Vietnam ni Zaidi ya Mahali pa Ibada

IQNA – Ukiwa katika Mtaa wa Tran Hung Dao, Kata ya Cau Ong Lanh, jijini Ho Chi Minh, Vietnam, Msikiti wa Jamiul Islamiyah unajitokeza kwa fahari katikati ya jiji hilo kwa usanifu wake unaofanana na ngome na rangi zake za kipekee za kijani.
16:03 , 2026 Aug 23
Dar al-Ifta ya Misri yasisitiza uhalali wa maadhimisho ya Maulid ya Mtume Muhammad (SAW)

Dar al-Ifta ya Misri yasisitiza uhalali wa maadhimisho ya Maulid ya Mtume Muhammad (SAW)

IQNA – Taasisi ya Dar al-Ifta (Idara ya Fatwa) ya nchini Misri imesisitiza kuwa sherehe za maadhimisho ya kuzaliwa kwa Mtume Mtukufu Muhammad (SAW), maarufu kama Maulidi, ni utamaduni uliokita mizizi nchini humo.
15:56 , 2026 Aug 23
Maonesho ya Urithi wa Kiislamu yafunguliwa Russia wakati wa Maulid

Maonesho ya Urithi wa Kiislamu yafunguliwa Russia wakati wa Maulid

IQNA – Maonesho yenye kichwa “Urithi wa Kiislamu wa Russia: Watu na Mila” yalifunguliwa katika hafla iliyofanyika Moscow jioni ya Jumamosi.
15:40 , 2026 Aug 23
Aliyevunjia heshima Qur’ani Tukufu nchini Marekani akamatwa Minneapolis

Aliyevunjia heshima Qur’ani Tukufu nchini Marekani akamatwa Minneapolis

IQNA – Mwanaharakati wa mrengo mkali wa kulia nchini Marekani, ambaye amekuwa akifanya vitendo vya kuvunjia heshima Qur’ani Tukufu mara kadhaa, amekamatwa jijini Minneapolis.
15:32 , 2026 Aug 23
Magaidi wateka waumini Msikitini Nmchini Nigeria

Magaidi wateka waumini Msikitini Nmchini Nigeria

IQNA – Watu kadhaa wametekwa nyara kutoka katika msikiti mmoja ulioko Jimbo la Niger, eneo la kaskazini-kati mwa Nigeria, na kundi la magaidi, kwa mujibu wa taarifa za wakazi na polisi.
15:28 , 2026 Aug 23
Programu za kuhifadhi Qur’ani kwa wanafunzi zahitimishwa nchini Jordan

Programu za kuhifadhi Qur’ani kwa wanafunzi zahitimishwa nchini Jordan

IQNA – Programu za bure za kuhifadhi, kusoma, na kusahihisha usomaji wa Qur’ani (Tajweed) kwa wanafunzi wa shule nchini Jordan zimefikia tamati katika hafla maalum iliyofanyika siku ya Alhamisi.
17:17 , 2026 Aug 22
Washindi wa Mashindano ya Qur’ani ya Makka Watunukiwa

Washindi wa Mashindano ya Qur’ani ya Makka Watunukiwa

IQNA – Washindi wa toleo la 46 la Mashindano ya Kimataifa ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi, Kusoma, na kufasiri Qur’ani Tukufu wametunukiwa katika hafla iliyofanyika ndani ya Msikiti Mtukufu (Masjid al-Haram) huko Makka.
17:15 , 2026 Aug 22
Hotuba za Swala ya Ijumaa nchini Singapore kufupishwa

Hotuba za Swala ya Ijumaa nchini Singapore kufupishwa

IQNA – Kutokana na changamoto za hali ya hewa nchini Singapore, vipindi vya hotuba za Swala ya Ijumaa vitafupishwa kwa muda kuanzia wiki hii.
17:13 , 2026 Aug 22
 Hamas: Hatua za Utawala wa Kizayuni hazitafuta utambulisho wa Kiislamu wa Msikiti wa Al-Aqsa

 Hamas: Hatua za Utawala wa Kizayuni hazitafuta utambulisho wa Kiislamu wa Msikiti wa Al-Aqsa

IQNA – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina,  Hamas, imesisitiza kuwa hatua mpya zinazochukuliwa na utawala wa Kizayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa hazitafuta wala kubadili utambulisho wa Kiislamu wa eneo hilo takatifu lililoko Al-Quds (Jerusalem).
17:10 , 2026 Aug 22
1 2 3 4 5