IQNA

Waislamu wakosoa kuvunjiwa heshima, Mamdani, Muislamu anayewania umeya wa New York

Waislamu wakosoa kuvunjiwa heshima, Mamdani, Muislamu anayewania umeya wa New York

IQNA – Baraza la Mahusiano ya Kiislamu ya Marekani (CAIR) limeitaka kampuni ya uwekezaji ya Sequoia Capital kumwondoa mshirika wake Shaun Maguire, kufuatia chapisho la mitandao ya kijamii lililokosolewa vikali kwa kuendeleza chuki dhidi ya Waislamu.
22:40 , 2025 Jul 12
Srebrenica  yaadhimisha miaka 30 tangu mauaji ya kimbari ya Waislamu wa Bosnia

Srebrenica yaadhimisha miaka 30 tangu mauaji ya kimbari ya Waislamu wa Bosnia

IQNA – Maelfu ya watu wamekusanyika Srebrenica siku ya Alhamisi kuadhimisha miaka 30 tangu mauaji ya kimbari ya mwaka 1995, ambapo miili ya wahanga saba waliotambuliwa hivi karibuni imezikwa katika Makaburi ya Ukumbusho ya Potočari.
22:24 , 2025 Jul 12
Maktaba ya Msikiti wa Mtume yatoa huduma kwa watafiti na wageni

Maktaba ya Msikiti wa Mtume yatoa huduma kwa watafiti na wageni

IQNA – Maktaba ya Msikiti wa Mtume au Al Masjid An Nabawi mjini Madina inafanya kazi kama taasisi ya umma inayotoa huduma mbalimbali kwa watafiti na wageni wanaovutiwa na turathi za Kiislamu.
21:47 , 2025 Jul 12
Polisi wa Uingereza Wachunguza Tukio la Matusi ya Maneno Nje ya Msikiti wa Suffolk

Polisi wa Uingereza Wachunguza Tukio la Matusi ya Maneno Nje ya Msikiti wa Suffolk

IQNA – Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kupitia kamera za usalama (CCTV) kufuatia tukio lililoripotiwa la matusi ya maneno dhidi ya waumini nje ya msikiti ulioko Haverhill, Suffolk.
21:25 , 2025 Jul 12
Mashekhe wa Ulaya waliopotea wakosolewa vikali kwa kutembelea Israel kukiwa na mauaji ya kimbari Gaza

Mashekhe wa Ulaya waliopotea wakosolewa vikali kwa kutembelea Israel kukiwa na mauaji ya kimbari Gaza

IQNA – Kundi la watu wanaojiita viongozi wa Kiislamu na maimamu wa jamii za Waislamu barani Ulaya limekumbwa na ukosoaji mkali baada ya kufanya ziara katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu wiki hii, wakati ambapo utawala wa Kizayuni unaendelea na mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Gaza.
11:14 , 2025 Jul 12
Mahafali ya Kujikurubisha na Qur'ani Tukufu iliyopewa jina la “Kuelekea Ushindi”

Mahafali ya Kujikurubisha na Qur'ani Tukufu iliyopewa jina la “Kuelekea Ushindi”

Jamii ya Qur’ani Tukufu nchini Iran imejumuika katika Mahafali ya Qur’ani Tukufu iliyofanyika Alhamisi, tarehe 11 Julai, jijini Tehran, chini ya anuani “Kuelekea Ushindi”. Katika mkusanyiko huo, hadhirina waliwakumbuka na kuwaenzi mashahidi wa mapambano, na wakaahidi tena uaminifu wao kwa malengo matukufu ya makamanda waliouawa shahidi pamoja na mashujaa wa vita vya siku 12.
10:49 , 2025 Jul 12
Kaaba Tukufu yasafishwa katika tukio la kila mwaka

Kaaba Tukufu yasafishwa katika tukio la kila mwaka

IQNA – Msikiti Mtukufu wa Makka uliangaziwa na tukio la kipekee Alhamisi, ambapo shughuli ya kila mwaka ya kuosha Kaaba (Ghusl ya Kaaba) ilitekelezwa kwa heshima na taadhima kubwa.
11:00 , 2025 Jul 11
Ustadh Abolqasemi asoma Aya za Surah Al-Imran katika Khitma ya Mashujaa wa Iran

Ustadh Abolqasemi asoma Aya za Surah Al-Imran katika Khitma ya Mashujaa wa Iran

IQNA – Qari maarufu wa Iran, Ustadh Ahmad Abolqsemi, alisoma kwa umahiri aya za Qur'ani Tukufu za 138 hadi 150 za Surah Al-Imran katika hafla maalum iliyofanyika Tehran mnamo Julai 10, 2025, kwa ajili ya Khitma ya mashahidi waliouawa katika uvamizi wa hivi karibuni wa siku 12 wa pamoja wa Marekani na Israel dhidi ya Iran.
10:50 , 2025 Jul 11
Mkataba wa Amani wa Hudaybiyyah: Dira ya Mkakati wa Mtume Muhammad (SAW) katika kukuza Uislamu

Mkataba wa Amani wa Hudaybiyyah: Dira ya Mkakati wa Mtume Muhammad (SAW) katika kukuza Uislamu

IQNA – Mkataba wa Amani wa Hudaybiyyah uliosainiwa mwaka wa 6 AH (628 Miladia), uligeuka kuwa hatua ya kihistoria iliyoimarisha Uislamu kwa kubadilisha mvutano mkubwa kuwa mafanikio ya kidiplomasia yenye athari za muda mrefu, kwa mujibu wa msomi mmoja kutoka Iran.
10:42 , 2025 Jul 11
Wahudumu wa afya Waislamu Australia wakumbwa na ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu

Wahudumu wa afya Waislamu Australia wakumbwa na ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu

IQNA – Utafiti mpya umeonesha ongezeko la chuki na chuki dhidi Uislamu (Islamofobia) dhidi ya wahudumu wa afya Waislamu nchini Australia, hali inayowaathiri kisaikolojia kwa kiwango kikubwa.
10:24 , 2025 Jul 11
Iran kuanza operesheni ya kusafirisha wafanyaziara milioni 4 wa Arbaeen kuanzia Julai 25

Iran kuanza operesheni ya kusafirisha wafanyaziara milioni 4 wa Arbaeen kuanzia Julai 25

IQNA – Operesheni ya kusafirisha wafanyaziara kwa ajili ya ibada ya Arbaeen mwaka huu itaanza rasmi tarehe 25 Julai, kwa mujibu wa Naibu Waziri wa Uchukuzi wa Iran, Mehran Ghorbani.
10:17 , 2025 Jul 11
Jeshi la Yemen latekeleza operesheni kali dhidi ya meli iliyokuwa inaelekea 'Israel'

Jeshi la Yemen latekeleza operesheni kali dhidi ya meli iliyokuwa inaelekea 'Israel'

IQNA-Jeshi la Yemen limeshambulia meli nyingine iliyokuwa inaelekea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina 'Israel', ili kuwaunga mkono Wapalestina wanaokabiliwa na mauaji ya halaiki katika Ukanda wa Gaza.
10:15 , 2025 Jul 10
Mikataba ya Abrahamu ya Trump Imeandikiwa Kushindwa: Mchambuzi

Mikataba ya Abrahamu ya Trump Imeandikiwa Kushindwa: Mchambuzi

IQNA – Mkataba wa Abrahamu wa Trump (ujulikanao pia kama "UAbrahamu wa Trump"), ambao unalenga kudhoofisha dini na haki za kitaifa za Wapalestina, hauwezi kufikia malengo yake, kwa mujibu wa mchambuzi wa kisiasa kutoka Lebanon.
20:15 , 2025 Jul 09
Usomaji wa Pamoja wa Surah Al-Balad na Maqari Wavulana

Usomaji wa Pamoja wa Surah Al-Balad na Maqari Wavulana

IQNA – Video mpya imezinduliwa ikionyesha usomaji wa pamoja wa Surah Al-Balad kutoka kwa vijana wa kikundi cha Tasnim Tawasheeh
18:01 , 2025 Jul 09
Warsha kuhusu nakala za Qur’an yafanyika katika Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Alexandria

Warsha kuhusu nakala za Qur’an yafanyika katika Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Alexandria

IQNA – Warsha yenye kichwa “Sanaa ya Uandikaji Nakala za Qur’an” ilifanyika siku ya Jumanne, Julai 9, pembeni mwa Maonyesho ya 20 ya Kimataifa ya Vitabu ya Alexandria nchini Misri.
17:58 , 2025 Jul 09
1