IQNA

Hamas yalaani hatua ya Israel kupiga marufuku Adhana, yataka hatua kali zichukuliwe

Hamas yalaani hatua ya Israel kupiga marufuku Adhana, yataka hatua kali zichukuliwe

IQNA-Harakati ya Kiislamu ya Kupigania Ukombozi wa Palestina (Hamas) iimelaani vikali uamuzi wa awali wa bunge la utawala wa Israel (Knesset) kupitisha muswada wa mrengo wa kulia wenye nia ya kupiga marufuku wito wa Sala ya Kiislamu (Adhana) kupitia vipaza sauti katika misikiti ya Mji Mkongwe wa al-Quds (Jerusalem) na maeneo mengine yote yaliyovamia na kukaliwa kwa mabavu na utawala huo.
17:23 , 2026 Jul 02
Haram ya Imam Ridha (AS) imeandaa Hafla ya Qur’ani ya Arbaeen

Haram ya Imam Ridha (AS) imeandaa Hafla ya Qur’ani ya Arbaeen

IQNA – Hafla maalumu ya Qur’ani inayolenga kuenzi hadhi ya juu ya mashahidi, kuendeleza utamaduni wa Qur’ani Tukufu na Ahlul Bayt (AS), pamoja na kuzindua rasmi programu za Qur’ani za Arbaeen, imefanyika Jumatano katika Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) kwa ushiriki wa maqari, mahafidhi, wanaharakati wa Qur’ani na wapenda dini.
23:03 , 2026 Jul 01
Harakati za Wanawake Waislamu Kenya: Kuunganisha Kujitolea na Huduma kwa Qur’an Tukufu

Harakati za Wanawake Waislamu Kenya: Kuunganisha Kujitolea na Huduma kwa Qur’an Tukufu

iQNA – Kundi la wanawake Waislamu katika eneo la kaskazini-mashariki mwa Kenya limefanikiwa kugeuza ari ya kujitolea kuwa mradi wa maendeleo unaochanganya uwezeshaji wa wanawake kiuchumi, huduma kwa Qur’an Tukufu, na kuimarisha mshikamano wa kijamii.
12:56 , 2026 Jul 01
Kisomo cha Qur’an kabla ya penalti na sijda baada ya mechi vya timu ya Morocco

Kisomo cha Qur’an kabla ya penalti na sijda baada ya mechi vya timu ya Morocco

IQNA – Kisomo cha aya za Qur’an kilichofanywa na timu ya taifa ya Morocco kabla ya mikwaju ya penalti pamoja na sijda zao za shukrani baada ya ushindi dhidi ya Uholanzi katika hatua ya 32 Bora kimeenea kwa kasi katika mitandao ya kijamii duniani.
12:52 , 2026 Jul 01
Maafisa watoa maelezo zaidi Kuhusu Shughuli za Mazishi ya Kiongozi Shahidi nchini Iraq

Maafisa watoa maelezo zaidi Kuhusu Shughuli za Mazishi ya Kiongozi Shahidi nchini Iraq

IQNA – Katibu wa Kamati ya Kitaifa ya Mazishi na Kuaga kwa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu ametangaza maelezo mapya kuhusu shughuli zilizopangwa kufanyika nchini Iraq.
12:44 , 2026 Jul 01
Wageni kutoka mataifa mbalimbali kufika Iran kwa ajili ya mazishi ya Kiongozi Shahidi

Wageni kutoka mataifa mbalimbali kufika Iran kwa ajili ya mazishi ya Kiongozi Shahidi

IQNA – Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran, Mohammad Reza Aref, ametangaza kuwa ujio wa maafisa na wajumbe wa kigeni wanaotarajiwa kushiriki katika hafla ya k mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyed Ali Khamenei, utaanza rasmi siku ya Ijumaa.
16:37 , 2026 Jun 30
Kyrgyzstan: Nuru ya Qur’an sasa imewafikia waja wa Allah wenye ulemavu wa macho

Kyrgyzstan: Nuru ya Qur’an sasa imewafikia waja wa Allah wenye ulemavu wa macho

IQNA – Kwa ndugu zetu Waislamu wenye ulemavu wa macho katika maeneo ya kusini mwa Kyrgyzstan, kizuizi sasa kimeondoka; Kitabu Kitukufu cha Allah kiko mikononi mwao, tayari kwa kusomwa na kutafakariwa.
16:28 , 2026 Jun 30
Kongamano la Kimataifa la ‘Akili Mnemba, Maadili na Demokrasia’ laandaliwa Vienna, Austria

Kongamano la Kimataifa la ‘Akili Mnemba, Maadili na Demokrasia’ laandaliwa Vienna, Austria

IQNA – Kituo cha Utamaduni cha Iran nchini Austria kimeandaa kongamano la kimataifa litakalochunguza kwa kina uhusiano tata kati ya maendeleo ya teknolojia, maadili ya kibinadamu, na mifumo ya kidemokrasia. Kongamano hili, lenye kichwa cha habari “Akili Mnemba, Maadili, na Demokrasia”, linatarajiwa kuwa jukwaa muhimu la kubadilishana maarifa.
16:15 , 2026 Jun 30
Msahafu adimu wa Kazan waonyeshwa katika Jumba la Makumbusho la Makkah

Msahafu adimu wa Kazan waonyeshwa katika Jumba la Makumbusho la Makkah

IQNA – Wageni wanaotembelea Wilaya ya Utamaduni ya Hira huko Makkah wanapata fursa ya kushuhudia kito cha kielimu: Msahafu uliochapishwa mwaka 1906, uliopambwa kwa tafsiri na maelezo ya pembeni yenye ustadi wa hali ya juu.
15:50 , 2026 Jun 30
Iraq yajitayarisha kwa Misafara ya Mazishi ya Kiongozi Shahidi mijini Najaf na Karbala

Iraq yajitayarisha kwa Misafara ya Mazishi ya Kiongozi Shahidi mijini Najaf na Karbala

IQNA – Kufuatia kuanza kwa uratibu mpana kati ya taasisi za Iraq na Iran, Iraq inajitayarisha kuandaa misafara ya mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Shahidi Ayatullah Seyed Ali Khamenei katika miji mitakatifu ya Najaf na Karbala.
18:02 , 2026 Jun 29
Vituo 3,000 vya Majira ya Kiangazi vya Kuhifadhi Qur’ani vyaanzishwa Jordan

Vituo 3,000 vya Majira ya Kiangazi vya Kuhifadhi Qur’ani vyaanzishwa Jordan

IQNA – Wanafunzi wa shule nchini Jordan wanapata fursa ya kutumia vyema likizo zao za majira ya kiangazi kwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu na kujifunza maadili ya Kiislamu.
17:55 , 2026 Jun 29
Italia yazindua hati ya kitaifa ya mazungumzo ya kati ya dini mbali mbali

Italia yazindua hati ya kitaifa ya mazungumzo ya kati ya dini mbali mbali

IQNA – Wawakilishi wa dini na madhehebu mbalimbali nchini Italia wameandaa hati ya kwanza ya kitaifa kwa ajili ya kuimarisha mazungumzo ya kati ya dini.
17:47 , 2026 Jun 29
Usomaji wa Aya za Sura Al-Furqān na Qari wa Iran, Hamed Alizadeh

Usomaji wa Aya za Sura Al-Furqān na Qari wa Iran, Hamed Alizadeh

IQNA – Qari wa Iran, Hamed Alizadeh, hivi karibuni alisoma Aya za 71 hadi 77 za Sura Al-Furqān pamoja na Sura An-Nasr katika hafla ya Qur’ani iliyofanyika katika haram takatifu ya Imamu Ridha (AS) mjini Mashhad.
17:31 , 2026 Jun 29
Jeshi la Iran la IRGC lashambulia vituo vya jeshi la Marekani kujibu uchokozi

Jeshi la Iran la IRGC lashambulia vituo vya jeshi la Marekani kujibu uchokozi

IQNA-Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limeendesha oparesheni kubwa ya makombora na ndege zisizo na rubani (droni) dhidi ya vituo nane vya kijeshi vya Marekani katika kanda hii, likiitaja hatua hiyo kuwa “jibu madhubuti” dhidi ya uchokozi mpya wa Marekani kwenye ardhi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
10:48 , 2026 Jun 28
Usajili wa Msafara wa Qur’ani wa Arbaeen wa Iran

Usajili wa Msafara wa Qur’ani wa Arbaeen wa Iran

IQNA – Muda wa usajili kwa wanaharakati na watumishi wa Qur’ani wanaotaka kushiriki katika Msafara wa Qur’ani wa Arbaeen wa Iran wa mwaka 2026 umeongezwa hadi Jumanne, tarehe 30 Juni.
10:44 , 2026 Jun 28
15 16 17