IQNA – Hafla maalumu ya Qur’ani inayolenga kuenzi hadhi ya juu ya mashahidi, kuendeleza utamaduni wa Qur’ani Tukufu na Ahlul Bayt (AS), pamoja na kuzindua rasmi programu za Qur’ani za Arbaeen, imefanyika Jumatano katika Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) kwa ushiriki wa maqari, mahafidhi, wanaharakati wa Qur’ani na wapenda dini.
23:03 , 2026 Jul 01