IQNA

Mwanazuoni asisitiza mazungumzo ya nchi za Kiislamu ili kutatua changamoto za ubinadamu

Mwanazuoni asisitiza mazungumzo ya nchi za Kiislamu ili kutatua changamoto za ubinadamu

IQNA- Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO) amesema kuwa mazungumzo kati ya nchi za Kiislamu ni hitaji lisiloweza kuepukika katika kutatua changamoto za msingi za ubinadamu.
23:10 , 2025 May 15
Sehemu ya chini ya Kiswah ya Kaaba yainuliwa, Waumini waaendelea kuwasili kwa ajili ya Hija

Sehemu ya chini ya Kiswah ya Kaaba yainuliwa, Waumini waaendelea kuwasili kwa ajili ya Hija

IQNA – Katika maandalizi ya ibada ya Hija ijayo, maafisa wa Msikiti Mtakatifu wa Makka wameinua sehemu ya chini ya pazia la Kaaba, linalojulikana kama Kiswah, kwa urefu wa mita tatu.
16:55 , 2025 May 14
Mwanazuoni wa Iran aenziwa Najaf kwa mchango wake katika fikra za Kiislamu

Mwanazuoni wa Iran aenziwa Najaf kwa mchango wake katika fikra za Kiislamu

IQNA – Hafla maalum imefanyika katika Haram Takatifu ya Imamu Ali (AS) mjini Najaf, Iraq, kumuenzi Ayatullah Abdollah Javadi Amoli, mwanazuoni mwandamizi wa Kishia kutoka Iran, kwa mchango wake mkubwa na wa maisha yote katika kuandika tafsiri ya Qur’ani Tukufu na kufunza falsafa ya Kiislamu.
16:45 , 2025 May 14
Wizara ya Wakfu Misri yamuenzi qari maarufu wa Misri marehemu Sheikh Hamdi al-Zamil

Wizara ya Wakfu Misri yamuenzi qari maarufu wa Misri marehemu Sheikh Hamdi al-Zamil

IQNA – Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 43 tangu kufariki kwa Qari mashuhuri wa Misri, Sheikh Hamdi al-Zamil, Wizara ya Wakfu ya nchi hiyo imesambaza tena baadhi ya qira'a zake katika tovuti rasmi ya wizara hiyo.
16:31 , 2025 May 14
Kituo cha Qur'ani cha Imam Ali chafunguliwa katika mkoa wa Bekaa, Lebanon

Kituo cha Qur'ani cha Imam Ali chafunguliwa katika mkoa wa Bekaa, Lebanon

IQNA – Kituo cha Qur'ani cha Imamu Ali (AS) sasa kimefunguliwa rasmi katika eneo la kaskazini-mashariki mwa Bekaa nchini Lebanon, kikiwa taasisi ya kwanza ya aina yake katika eneo hili inayojitolea kwa elimu na uenezi wa Qur'ani Tukufu.
16:19 , 2025 May 14
Msomi: Hija inaleta manufaa ya kiroho, kisiasa na kijamii kwa Waislamu wote

Msomi: Hija inaleta manufaa ya kiroho, kisiasa na kijamii kwa Waislamu wote

IQNA – Mbunge wa zamani wa Iran ameielezea Hija kama ibada ya kiroho yenye malipo makubwa, lakini pia yenye manufaa mapana ya kisiasa na kijamii kwa Waislamu kote duniani.
16:08 , 2025 May 14
17