IQNA – Baada ya siku kadhaa za misafara ya mazishi na hafla za kuaga nchini Iran na Iraq, Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amezikwa kandokando ya haram tukufu ya Imam Ridha (AS) mjini Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran siku ya Alhamisi.
16:33 , 2026 Jul 10