iqna

IQNA

taliban
Matukio ya Afghanistan
TEHRAN (IQNA)- Imearifiwa kuwa, kundi la Taliban la Afghanistan limempendekeza Mullah Hassan Akhund kuwa rais wa baadaye wa nchi hiyo.
Habari ID: 3474265    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/06

Matukio ya Afghansitan
TEHRAN (IQNA)- Ahmad Masoud, Kiongozi wa Waafghanistan wanaolipinga kundi la Taliban ametoa mwito wa kuendelezwa mapambano dhidi ya kundi hilo.
Habari ID: 3474256    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/04

Mtukio ya hivi karibuni Afghanistan
TEHRAN (IQNA)- Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanyika nchini Marekani yanaonesha kuwa, asilimia 69 ya watu wa nchi hiyo wanaamini kuwa nchi yao imefeli na kushindwa kutimiza malengo yake huko Afganistan.
Habari ID: 3474253    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/03

TEHRAN (IQNA)- Watoto wadogo ni miongoni mwa raia kadhaa waliouawa katika shambulio la ndege isiyo na rubani ya Marekani karibu na Uwanja wa Ndege wa Kabul, mji mkuu wa Afghanistan.
Habari ID: 3474239    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/30

TEHRAN (IQNA)- Matukio ya majuma mawili ya hivi karibuni nchini Afghanistan yameonyesha kuwa, makundi ya mapambano na muqawama katika eneo la Asia Magharibi yana nafasi muhimu katika kulinda mamlaka ya kujitawala pamoja na usalama wa mataifa yao.
Habari ID: 3474235    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/28

TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mashambulio ya kigaidi yaliyotokea katika eneo la uwanja wa ndege wa Kabul nchini Afghanistan jana Alkhamisi.
Habari ID: 3474230    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/27

TEHRAN (IQNA)-TEHRAN (IQNA)- Raia wa Afghanistan karibu 200 wakiwemo wanajeshi 13 wa Marekani wameuawa leo kufuatia hujuma katika uwanja wa ndege wa Kabul.
Habari ID: 3474229    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/26

TEHRAN (IQNA)-Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekutana Jumatatu kwa dharura kujadili hali nchini Afghanistan ambako kundi la Taliban llilichukua mamlaka Jumapili baada ya vikosi vya serikali kuzidiwa nguvu na Rais ashraf Ghani kutoroka nchi.
Habari ID: 3474198    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/17

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres anafuatilia hali ilivyo huko Afghanistan akiwa na wasiwasi mkubwa na amewasihi Taliban na wahusika wote wajizuie kwa kiwango cha juu ili kuepusha madhara kwa raia na pia kuhakikisha utoaji wa misaada ya kibinadamu.
Habari ID: 3474196    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/16

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetoa wito kwa wahusika wote wa mgogoro Afghanistan kuachana na ghasia na kutatia matatizo yaliyopo kwa njia ya mazungumzo.
Habari ID: 3474192    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/15

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Afghanistan Ashraf Ghani ameikimbia nchi yake leo jioni baada ya kundi la Taliban kuchukua udhibiti wa mji mkuu wa Kabul. Taarifa zinasema Ghani ameondoka Afghanistan na inaarifiwa amekimbilia taifa jirani la Tajikistan.
Habari ID: 3474191    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/15

TEHRAN (IQNA) - Vikosi vya serikali ya Afghanistan vinakabiliana na mashambulio ya Taliban kwenye miji kadhaa mikubwa Jumapili wakati kundi hilo lilizidisha mashambulio ya kitaifa ambayo yalishuhudia uwanja wa ndege muhimu kusini ukishambuliwa kwa maroketi usiku kucha.
Habari ID: 3474148    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/01

TEHRAN (IQNA)- Rais wa zamani wa Afghanistan Hamid Karzai amepongeza mazungumzo ya amani baina ya serikali ya Afghanistan na ujumbe wa wanamgambo wa Taliban ambayo yamefanyika wiki iliyopita Tehran.
Habari ID: 3474089    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/10

TEHRAN (IQNA)- Makumi ya raia, aghalabu wakiwa wasichana wa shule waliuawa shahidi Jumamosi katika hujuma ya kigaidi dhidi ya shule ya Sayyid al Shuhadaa katika mtaa wa Dasht-e-Barchiwenye Waislamu wengi wa madhehebu ya Shia katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.
Habari ID: 3473898    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/11

TEHRAN (IQNA)- Watu saba wameuawa wakiwa katika darsa ya Qur’ani Tukufu katika hujuma iliyotekelezwa mjini Peshawar, kaskazini magharibi mwa Pakistan.
Habari ID: 3473301    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/27

TEHRAN (IQNA) - Mazungumzo ya kutafuta suluhu na amani kati ya wawakilishi wa serikali ya Afghanistan na kundi la Taliban yalianza jana Jumamosi katika mji mkuu wa Qatar, Doha.
Habari ID: 3473166    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/13

TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, matukio yanayojiri leo hii huko Afghanistan ni matokeo ya uingiliaji na uwashaji moto wa vita uliofanywa na Marekani ndani ya nchi hiyo.
Habari ID: 3473081    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/18

TEHRAN (IQNA) - Kundi la Taliban limetoa taarifa na kusema hujuma dhidi ya misikiti nchini Afghanistan zinatekelezwa na mashirika ya kijasusi ya maadui.
Habari ID: 3472861    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/13

TEHRAN (IQNA) - Rais Muhammad Ashraf Ghani wa Afganistan ametoa amri ya kuachiliwa huru kutoka gerezani wafungwa ambao ni wanachama wa kundi la wanamgambo wa Taliban
Habari ID: 3472558    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/12

TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa kuhusu makubaliano yaliyotiwa saini jana Jumamosi baina ya Marekani na kundi la Taliban la Afghanistan na kusisitiza kuwa, amani ya kudumu nchini humo itapatikana tu kupitia mazungumzo ya Waafghani wenyewe kwa wenyewe na kushirikishwa makundi yote likiwemo la Taliban.
Habari ID: 3472520    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/01