iqna

IQNA

risasi
Mtazamo wa Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Duniani amelaani mauaji ya kiholela hivi karibuni katika shule huko Texas, Marekani ambapo watu 22 waliuawa huku akiashiria aya ya 32 ya Sura Al Maidah katika Qur'ani Tukufu inayozungumzia matukio kama hayo ya mauaji yasiyo na msingi.
Habari ID: 3475303    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/27

Mtoto Mwislamu mwenye umri wa miaka miwili amepigwa risasi na kuumizwa vibaya kichwani katika mji wa Bradford nchini Uingereza.
Habari ID: 3304654    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/18