iqna

IQNA

tauhidi
Nukuu kutoka Nahjul-Balagha / 2
TEHRAN (IQNA) – Imam Ali (AS) anaashiria kwenye vipengele vya tauhidi safi katika Khutba ya 1 ya Nahj al-Balagha.
Habari ID: 3476092    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/15

Kanuni za Imani ya Kiislamu; Tauhidi (Imani ya Mungu Mmoja) /1
TEHRAN (IQNA) – Fitra (maumbile asili) inahusu mwelekeo wowote ulio ndani ya wanadamu wote bila ya kuelimishwa juu yake na kuwaongoza watu kwenye dini. Dhana hii imerejelewa ndani ya Quran kupitia maneno tofauti.
Habari ID: 3476090    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/15

Tauhidi katika Qur'ani Tukufu/1
TEHRAN (IQNA) – Suala la mwanzo na mwisho wa dunia ni miongoni mwa maswali muhimu yaliyo mbele ya wanadamu na namna wanavyoyajibu huwa na athari kubwa katika maisha na hatima ya watu binafsi.
Habari ID: 3476055    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/08

Sura za Qur'ani Tukufu / 37
TEHRAN (IQNA) – Kuna makundi mbalimbali ya watu wanaokataa au wanaokana kuwepo kwa Mwenyezi Mungu au upweke wake. Mungu ametuma adhabu kwa baadhi yao na kuwapa baadhi ya wengine fursa ya kutubu huku akieleza ni hatima gani inayowangoja ikiwa hawatafanya hivyo.
Habari ID: 3476001    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/28

Sura za Qur'ani Tukufu /31
TEHRAN (IQNA) – Luqman alikuwa mtu mashuhuri aliyeishi wakati wa Nabii Daud (AS). Alikuwa Hakim (mtu mwenye hekima) na kwa mujibu wa baadhi ya maelezo ya kihistoria alikuwa mtume wa Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3475809    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/19

Qur’ani inasemaje/ 8
TEHRAN (IQNA) - Kuheshimu wazazi ni mojawapo ya mafundisho makuu ya maadili ya Uislamu na Qur’ani inalipa suala hili umuhimu mkubwa sana.
Habari ID: 3475389    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/17

TEHRAN (IQNA) - Kutawassuli maana yake ni mwanadamu afanye kiungo kati yake na Mwenyezi Mungu ili akidhiwe haja yake kwa sababu ya kiungo hicho
Habari ID: 3475193    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/01