iqna

IQNA

qarii
TEHRAN (IQNA)- Qarii maarufu wa Misri Sheikh Muhammad Abdul Halim ameaga dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Habari ID: 3474042    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/25

TEHRAN (IQNA)- Hivi karibuni kumesambaa klipu ya qarii Muirani, Mehdi Adeli, akisema aya za Qur'ani Tukufu nchini Uturuki.
Habari ID: 3473951    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/27

TEHRAN (IQNA)- Qarii mashuhuri wa Iran, Sayyed Javad Hussein amewahi kualikwa maeneo mbali mbali duniani katika vikao vya Qur'ani Tukufu na moja ya nchi hizo ni Bangladesh.
Habari ID: 3473875    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/04

TEHRAN (IQNA) – Leo Januari 20 ni mwaka 101 wa kumbukumbu ya kuzaliwa mmoja kati ya wasomjai bingwa wa Qur'ani Tukufu nchini Misri.
Habari ID: 3473575    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/20

TEHRAN (IQNA) – Qarii maarufu wa Misri Sheikh Abdul Alim Fasada ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 73.
Habari ID: 3473567    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/18

TEHRAN (IQNA) – Hivi karibuni qarii mashuhuri wa Misri Sheikh Abdul Fattah Taruti alishiriki katika kikao ambacho alisoma aya moja katika Sura al-Furqan ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3473431    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/07

TEHRAN (IQNA)- Hivi karibuni klipu ya Sheikh Abdul-Basit akisoma aya ndefu zaidi katika Qur’ani Tukufu imeenea katika mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3473365    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/16

TEHRAN (IQNA)- Qarii na hafidh maarufu wa Qur'ani Tukufu nchini Sudan, Sheikh Noreen Muhammad Sidiq amefariki katika ajali barabarani.
Habari ID: 3473336    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/07

TEHRAN (IQNA) – Kwa mnasaba wa maadhimisho ya kukumbuka siku ya kuzaliwa Mtume Muhammad SAW maarufu kama Milad-un-Nabii na wiki ya Umoja wa Waislamu, qarii maarufu wa Iran Mehdi Gholamnejad amesema aya ya 29 ya Surah al Fath akiwa na mtoto wake.
Habari ID: 3473332    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/05

TEHRAN (IQNA) – Qarii maarufu wa Misri Sheikh Mahmoud Shahat Anwar hivi karibuni alisoma aya za Qur'ani akiwa safarini katika jimbo la Dakahlia.
Habari ID: 3473221    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/01

TEHRAN (IQNA) – Hivi karibuni kumesambazwa qiraa yenye mvuto ya Qur'ani Tukufu ya qarii maarufu wa Misri Sheikh Mahmod Shahat Muhammad Anwar.
Habari ID: 3473184    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/19

TEHRAN (IQNA) – Klipu ya sauti ya qiraa ya Qarii Muirani Ustadh Kabir Qalandzadeh akisoma aya za Sura Sabah ya Qur’ani Tukufu imesambazwa katika mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3473116    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/29

TEHRAN (IQNA) – Klipu ya tilawa ya Qur'ani Tukufu ya Qarii kutoka Japan imeenea katika mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3473091    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/22

TEHRAN (IQNA)- Qari maarufu wa Misri, marhum Sheikh Abdul Basit Abdul Samad alisafiri katika nchi nyingi duniani kusoma Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3473033    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/04

TEHRAN (IQNA) – Mahmud Ali Al Banna alikuwa qarii mashuhuri wa Qur’ani aliyezaliwa katika kijiji cha Shobrabas kaskazini mwa Misri mnamo Disemba 17, 1926.
Habari ID: 3472986    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/21

TEHRAN (IQNA)- Marhum Sheikh Mahmoud Khalil al-Hussary alizaliwa Septemba 17 1918 na alikuwa miongoni mwa wasomaji mashuhuri wa Qur'ani nchini Misri.
Habari ID: 3472980    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/19

TEHRAN (IQNA) – Klipu fupi ya video ya qiraa ya qarii mkongowe wa Qur'ani Tukufu kutoka Iran imesambazwa katika mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3472966    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/15

TEHRAN (IQNA) – Qarii wa Qur'ani kutoka Misri, Sheikh Hani al-Hussaini ametoa wito kwa wazazi Waislamu kuwafunza watoto wao kuhifadhi Qur'ani Tukufu na Tajwid wakiwa bado ni wadogo.
Habari ID: 3472964    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/15

TEHRAN (IQNA) – Qarii mashuhuri wa Misri Sheikh Sayyid Said alitembelea Iran mwaka 2007 na kusema Qur'ani Tukufu katika mji wa Zanjan.
Habari ID: 3472963    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/14

TEHRAN (IQNA) – Qiraa ya qarii maarufu wa Misri marhum Sheikh Sayed Mutawalli Abdul Aal katika mji wa Tabriz, Iran imesambazwa katika mitandao ya intaneti hivi karibuni.
Habari ID: 3472951    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/11