iqna

IQNA

kano
TEHRAN (IQNA) - Mahakama moja wa Kiislamu nchini Nigeria imemhukumu kifo mwanamuziki ambaye alikufuru na kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3473056    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/11

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani mauaji ya Waislamu waliokuwa wakishiriki katika maombolezo ya Arubaini ya Imam Hussein AS kaskazini mwa Nigeria
Habari ID: 3470677    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/15

Katika msafara ya Arubaini ya Imam Hussein AS
IQNA- Jeshi la Nigeria limeua Waislamu zaidi ya100 wa madhehebu ya Shia kwa kuwapiga risasi kiholela kaskazini mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3470676    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/14

Waislamu 21 wa madhehebu ya Shia wameuawa shahidi katika jimbo la Kano, kaskazini mwa Nigeria baada ya gaidi moja kujiripua kwenye msafara wa Waislamu hao Ijumaa hii.
Habari ID: 3457492    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/27

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, amelaani vikali shambulizi la kigaidi kwenye Msikiti Mkuu wa Kano, Nigeria jana Ijumaa, ambalo limeripotiwa kupelekeka kuuawa watu zaidi ya 120 na kuwajeruhi wanaokisiwa kuwa mamia ya wengine.
Habari ID: 2613079    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/29