iqna

IQNA

ireland
Kadhia ya Palestina
IQNA-Viongozi wa Ireland na Uhispania wametangaza kuwa nchi kadhaa za bara la Ulaya zinakaribia kutambua rasmi nchi huru ya Palestina.
Habari ID: 3478676    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/13

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Kiongozi mkuu wa Kiislamu mjini Dublin nchini Ireland alivamiwa na watu wawili katika kile alichokitaja kuwa "uhalifu wa makusudi wa chuki" Alhamisi usiku.
Habari ID: 3478361    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/16

Chuki dhidi ya Waislamu
DUBLIN (IQNA) - Polisi huko Belfast wanachukulia uwekaji wa bendera kadhaa za Wnazi karibu na msikiti kuwa ni "uhalifu wa chuki unaochochewa na ubaguzi wa rangi".
Habari ID: 3477489    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/24

Waislamu Ulaya
TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Waislamu huko Cork, jiji la pili kwa ukubwa nchini Ireland, imewaalika watu kuwauliza maswali yoyote wangependa kuhusu Uislamu au mtindo wa maisha wa Waislamu katika hafla maalum ya Kiislamu ya 'mlango wazi'.
Habari ID: 3475653    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/20

TEHRAN (IQNA)- Idhini imetolewa kwa ajili ya kujenga Msikiti na Kituo cha Kiislamu cha Mji wa Limerick nchini Ireland.
Habari ID: 3474603    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/26

IQNA-Uislamu ni dini inayoenea kwa kasi zaidi nchini Ireland huku kukiimarishwa jitihada za kuelimisha jamii kuhusu Uislamu.
Habari ID: 3470640    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/28