Arbaeen
IQNA - Balozi wa Iran nchini Iraq Mohammad Kazem Al Sadeq amesema kuimarika kila mwaka mjumuiko na matembezi ya Arbaeen kama mfano wa utamaduni adhimu wa Kiislamu.
Habari ID: 3478699 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/19
Jumatano ya leo ya tarehe 6 Septemba 2023 inasadifiana na maombolezo ya Arubaini ya Imam Husain AS, yaani siku ya 40 tangu Imam Husain AS na wafuasi wake watiifu walipouawa kinyama kwenye jangwa la Karbala mwezi 10 Mfunguo Nne Muharram, mwaka wa 61 Hijria.
Habari ID: 3477555 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/06
Arabaeen 1435
BAGHDAD (IQNA) - Wizara ya mambo ya ndani ya Iraq imesema zaidi ya wafanyaziara milioni 3.4 wa kigeni wameingia katika nchi hiyo ya Kiarabu tangu kuanza kwa msimu wa Arbaeen.
Habari ID: 3477546 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/04
Arbaeen 1435
TEHRAN (IQNA) – Mtazamo wa muono wa mbali wenye kuainisha mwelekeo kwa safari ya kidini au Ziara ya Arabeen ni muhimu sana.
Habari ID: 3477537 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/02
Arbaeen 1435
TEHRAN (IQNA) – Ujumbe wa Arbaeen ni kwamba lazima tujitahidi katika njia ya haki na kuhuisha ukweli katika hali zote.
Habari ID: 3477523 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/30
Arbaeen 1445
KARBALA (IQNA) – Kongamano la kwanza la wanaharakati katika uwanja wa Elimu ya Kiislamu litafanyika katika mji mtakatifu wa Karbala wakati wa msimu wa Arabeen.
Habari ID: 3477499 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/26
Arbaeen 1445
TEHRAN (IQNA)- Zaidi ya waandishi wa habari 600 kutoka nchi mbalimbali wataangazia matukio yanayohusiana na matembezi ya kila mwaka ya Arbaeen nchini Iraq.
Habari ID: 3477484 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/24
Arabeen 1445
TEHRAN (IQNA) – Mamilioni ya watu kutoka duniani kote wanaelekea katika tukio la kila mwaka la Arbaeen, ambalo linaweza kuongeza ufahamu wa kimataifa wa madhehebu ya Kiislamu ya Shia kama vyombo vya habari vya kawaida vitaamua kufanya hivyo.
Habari ID: 3477468 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/20
Harakati ya Imam Hussein (AS)
KARBALA (IQNA) – Ziara ya kidini ya kila mwaka ya Arbaeen ambayo ni safari muhimu ya kidini ya Waislamu wa madhehebu ya Shia na wale wote wanaoguswa na harakati adhimu ya Imam Hussein (AS), imeanza kutoka eneo la kusini mwa Iraq.
Habari ID: 3477423 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/12
Muharram 1445
TEHRAN (IQNA)- Wafanyaziara milioni 16 wameingia Karbala, Iraq katika siku 10 za kwanza za mwezi wa Muharram mwaka huu wa 1445 Hijria Qamaria.
Habari ID: 3477358 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/30
Muharram 1435
TEHRAN (IQNA)- Mamilioni ya Waislamu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na maeneo mengine ya dunia leo wameshiriki shughuli ya siku ya Ashura ya kukumbuka siku ya kuuliwa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (AS).
Habari ID: 3477351 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/28
Muharram 1445
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya mapambano ya Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (AS) hapo mwaka 61 Hijria dhidi ya dhulma na ufisadi wa Bani Umayya ilijaa hamasa, kujitolea na kusabilia kila kitu kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, haki na uadilifu, na kwa sababu hiyo imegusa sana nyoyo za Waislamu na hata wapenda haki na kweli wasio Waislamu na kuzusha vuguvugu na hamasa ya aina yake ndani ya nafsi za wapenzi wa mtukufu huyo.
Habari ID: 3477343 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/26
Muharram 1445
TEHRAN (IQNA) – Maelfu ya Waislamu wa madhehebu ya Shia waliingia kwenye mitaa ya New York katika maombolezo ya Muharram.
Habari ID: 3477338 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/25
Mjue Imam Hussein -Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake- (AS)
TEHRAN (IQNA) – Tangu mwanzo wa safari yake ya kwenda Makka na kisha Karbala, Imam Hussein (AS) alisoma aya za Qur’ani Tukufu katika nyakati tofauti.
Habari ID: 3477323 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/22
Muharram
TEHRAN (IQNA)- Waislamu kote duniani wanaukaribisha mwaka mpya wa Kiislamu ambapo umeanza Mosi Muharram.
Habari ID: 3477305 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/19
Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq, amesema Waislamu duniani kote wanapaswa kuungana chini ya bendera ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476640 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/28
Arbaeen ya Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA) – Washindi wa toleo la 8 la Tuzo la Kimataifa la Arbaeen walitangazwa na kutunukiwa katika sherehe hapa Tehran siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3476523 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/06
Ahul Bayt wa Mtume SAW
TEHRAN (IQNA)- Siku ya kukumbuka kuzaliwa Imam Ali bin Abi Talib AS ni maarufu kama inajulikana pia kwa jina la Siku ya Baba nchini.
Habari ID: 3476508 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/04
Mazungumzo baina ya dini
TEHRAN (IQNA) - Mjumbe wa Umoja wa Mataifa amesema amepata mvuto wa kipekee wa kiroho alipokuwa akitembelea Haram (kaburi) takatifu ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq.
Habari ID: 3476293 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/23
Matembezi ya Arbaeen
TEHRAN (IQNA) – Vikosi vya Kujitolea vya Wananchi wa Iraq (PMU) vimetoa mapigo makubwa kwa kundi la kigaidi la Daesh (ISIL au ISIS) katika Jimbo la Diyala la nchi hiyo wakati wa msimu wa Arbaeen (Arubaini) ya Imam Hussein AS
Habari ID: 3475807 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/19