iqna

IQNA

ahqaf
Sura za Qur'ani Tukufu / 46
TEHRAN (IQNA) – Watu wanaishi kwa uhuru wakiwa na imani na mawazo tofauti. Wanaweza kukataa ukweli na kufuata mawazo ya uwongo lakini wanapaswa kujua nini hatima inayowangoja wale wanaoikadhibisha ukweli na kufuata uwongo.
Habari ID: 3476225    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/10