iqna

IQNA

qaroon
Sura za Qur’ani Tukufu /28
TEHRAN (IQNA) – Kumekuwa na makundi mbalimbali ya watu katika historia yote ambayo yameegemea juu ya uwezo na mali zao kusimama dhidi ya utawala wa Mwenyezi Mungu lakini wote wameshindwa kwani si wingi wa mali wala uwezo wa watu wenye nguvu unaoweza kukabiliana na nguvu za Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3475701    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/29