iqna

IQNA

ARAAF
Surah za Qur'ani / 7
TEHRAN (IQNA)- Mawazo na nadharia tofauti zimeelezwa kuhusu uumbaji wa mwanadamu na ulimwengu, lakini kwa mtazamo wa Kiislamu, Mwenyezi Mungu aliumba ulimwengu mzima na wanadamu katika kipindi fulani na wakati maalum; Kwa mujibu wa Uislamu, mwanadamu ameweka agano na Mwenyezi Mungu kabla ya kuumbwa awe khalifa au mrithi wa Mwenyezi Mungu katika ardhi.
Habari ID: 3475339    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/05