iqna

IQNA

mlipuko
Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza wametangaza kufungmana na wananchi wa Lebanon katika hasa jamaa za wale walipoteza maisha katika mlipuko wa Jumanne iliyopita mjini Beirut.
Habari ID: 3473051    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/10

TEHRAN (IQNA) – Mbunge wa zamani wa utawala haramu wa Israel amebainisha furaha yake kufuatia mlipuko uliojiri katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut kuua idadi kubwa ya watu.
Habari ID: 3473040    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/06

TEHRAN (IQNA) - Mlipuko mkubwa umejiri Jumanne Agosti 5 2020 katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut na kusababisha zaidi ya watu 100 kupoteza maisha na wengine wasiopungua 4,000 kujeruhiwa.
Habari ID: 3473036    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/05