Umrah ilipigwa marufuku Saudia mwishoni mwa mwezi Februari kama mojawapo ya hatua ambazo zilichukuliwa kuzuia kuenea ugonjwa wa umrah.
Hivi sasa Saudia inapanga kuruhusu safari chache za ndege za kimataifa kutoka na kuingia nchini humo kuanzia Septemba 15.
Shirika rasmi la habari la Saudia SPA limenukulu duru za Wizara ya Ndani zikisema kuna uwezekano wa kuanza tena Ibada ya Umrah.
Hadi sasa watu 325,000 wameambukizwa corona nchini Saudia na migongoni mwao 4,200 wamefariki dunia.