Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mji wa Hamburg nchini Ujerumani utakuwa mwenyeji wa Awamu ya 10 ya Mashindano ya Qur'ani ya Ulaya mwezi ujao. Kituo cha Dar-ol-Qur'ani al-Kareem cha Ujerumani kinaandaa hafla hiyo ya Qur'ani.
Habari ID: 3478539 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/19
Mazungumzo
TEHRAN (IQNA) - Kituo cha Kiislamu cha Hamburg nchini Ujerumani kimeandaa mazungumzo ya dini mbalimbali siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3477081 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/02
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Toleo la tisa la mashindano ya Qur’ani ya Ulaya yanapangwa kufanyika Machi 2023.
Habari ID: 3476517 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/05
IQNA-Kati ya malengo ya mashindano ya Qur'ani ya Waislamu barani Ulaya ni kutafuta na kubaini vipawa vilivyopo vya Qur'ani barani humo.
Habari ID: 3470892 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/13