IQNA

Waislamu kutoka Kenya katika Arubaini ya Imam Hussein AS

10:12 - October 19, 2019
Habari ID: 3472178
Idadi kubwa ya waombolezaji Waislamu kutoka nchini Kenya wamejiunga na mamilioni ya wenzao katika matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein AS huko mjini Karbala nchini Iraq.
captcha